Kigogo Media
banner
kigogomedia.bsky.social
Kigogo Media
@kigogomedia.bsky.social
The uncensored,unfiltered and unbiased online news in East Africa | Affiliate of www.kigogoforum.com a free platform for the voiceless in Tanzania | Email: [email protected]
Kundi la majizi ndani ya serikali na wizara ya nishati limevunjika kidogo kidogo

Hawa watu ndiyo waliokuwa wezi na wala rushwa wakubwa wakiongizwa na January Makamba na Farouk Baghoza na kwa kiasi kikubwa sana wameharibu sekta nzima ya mafuta nchini Tanzania

Ni jambo jema wanang'olewa sasa!
January 7, 2024 at 6:50 AM
Reposted by Kigogo Media
📢 App Version 1.60 is rolling out now (1/5)

We have a new logo! 🦋 

Bluesky is emerging from its cocoon of clouds to transform into a social butterfly. Read more about why we chose this logo here: blueskyweb.xyz/blog/12-21-2...
December 22, 2023 at 6:58 PM
Reposted by Kigogo Media
Never go on trips with anyone you do not love. Sophy Tours
November 24, 2023 at 10:52 AM
Tukionya sana kutochanganya kwa harakati na siasa lakini wengi hawakuwa wanataka kuelewa.

Haya sasa mwanaharakati wao anapikwa na kukaangwa haswa!.
October 29, 2023 at 12:48 PM
Reposted by Kigogo Media
A judge on Tuesday ruled former president Trump and his company committed fraud by inflating his net worth in business transactions, narrowing the scope of what the state’s attorney general must prove at an upcoming civil trial.
N.Y. judge finds Trump committed fraud and sanctions his attorneys
A judge overseeing a $250 million lawsuit against Donald Trump ruled the ex-president and his company committed fraud by inflating his net worth in business transactions
wapo.st
September 26, 2023 at 11:00 PM
Kinachoendelea na tunachoshuhudia kwenye ziara za Rais Samia huko mikoa ya kusini ni tafsiri kuwa wapinzani wa Tanzania wana safari ndefu sana kuweza kushawishi watanzania wawaelewe na wawaunge mkono na hata kuwapigia kura.CCM inaweza ikawa haina mbwembwe mitandaoni lakini ina watu huko vijijini
September 19, 2023 at 4:47 AM
Giza totoro halijawazuia maelfu ya wananchi wa Ruangwa kujikwaga barabarani kumpokea Mheshimiwa Rais Samia aliyewasili Ruangwa usiku huu.

Maelefu ya watu waliojipanga barabarani wakiwa na vigoma ghafla walilipuka kwa hoihoi ,nderemo na virojo pale msafara wa Mheshimiwa Rais Samia ulipowasili
September 17, 2023 at 7:01 PM
HIKI KISHINDO NI KIKUBWA SANA !.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Mangaka wilaya ya Nanyumbu ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika mikoa ya Kusini   aliyoianza tarehe 15 Septemba, 2023.

#KigogoMediaUpdates
September 17, 2023 at 11:53 AM
Klabu ya Manchester United imeendelea kuvurunda kwenye ligu ya EPL kwa kushindiliwa goli mbili na klabu ya Brighton.

Manchester United ambayo inafundishwa na kocha mwenye kipara Ten Hag imekumbwa na vipigo mfululizo ambavyo haviwezi kuelezeka kwa kuwa ni vipigo vikali sana.

#KigogoMediaUpdates
September 16, 2023 at 4:03 PM
Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Innocent Bashungwa ametembelea makao makuu ya TANROADS na kufanya mazungumzo na mtendaji mkuu Mhandisi Mohamed Besta.

Hii hi ziara ya kwanza ya Mheshimiwa waziri Innocent Bashungwa kwenye ofisi za TANROADS toka ateuliwe kushika uwaziri wa ujenzi

#KigogoMediaUpdates
September 12, 2023 at 9:48 AM
Tabia za kuuwa watu hasa wanaompinga alizokuwa nazo makonda ndizo hizo ambazo anazo January Makamba lakini yeye sasa anatumia watu wa idara ya usalama wa taifa kumfanyia hiyo kazi.

Ameshauwa watu ndani ya ofisi ya CAG, kishauwa mfanyakazi wa TRA lakini bado yuko kwenye ofisi za umma

INASIKITISHA
September 7, 2023 at 6:06 PM
Reposted by Kigogo Media
📢 1.49 is here! It has some big updates to the Web app.

• Threads now sort replies by likes
• Fixes to the sync of moderation settings (adult content) between devices
• Improvements to the logged out UI on web
• The web app now correctly resizes for narrower screens
• Additional bugfixes, of course
September 7, 2023 at 5:37 PM
Wakati Tanzania iko kwenye shida kubwa ya mafuta nyuma yake kuna kundi kunwa la ma cartel wanaofanya hii michezo na wanasaidiwa na kamishna wa jishati ndani ya wizara ya nishati bwana Nichael Mjinja.

Mtu huyu ni hatari sana na ndiye msuka mipango ya rushwa na January Makamba akiwa waziri
September 7, 2023 at 6:00 PM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika moja ya mikutano kando ya mkutano mkuu wa mabadiliko ya tabianchi Africa (Africa Climate Summit 23) unaofanyika jijini Nairobi-Kenya.

#KigogoMediaUpdates
September 6, 2023 at 3:22 PM
Tunawakumbusha tu chama cha Mbowe kuwa watoto hawa walitakiwa kuwa shuleni muda huu.

Kama ambavyo mmekuwa mnawasema CCM kuwa mikutano yao wanajaa watoto wadogo , na nyie tunawauliza hawa ni watu wazima?Watoto hawa hawatakuja kupiga kura. Hivyo msije sema mmeibiwa kura

#KigogoMediaUpdates
September 6, 2023 at 11:05 AM
Kutoka magazetini leo
September 6, 2023 at 2:04 AM
Tanzanua imeingia kwenye shida kubwa sana ya uhaba wa mafuta kwa sababu ya wizi na ula rushwa wa watu hawa wawili.

January Makamba kaiingiza nchi kwenye shida kubwa sana kwa kupenda rushwa mpaka mfumo wa kuagizi mafuta umekufa kabisa. Hawa watu wakitakiwa kuwa jela hivi sasa

#KigogoMediaUpdates
September 5, 2023 at 6:41 PM
Tulipokuwa tunasema January Makamba ni tatizo kwa hili taifa na kaliingiza taifa hili kwenye matatizo makubwa sana wengi hawakuwa wanataka kuelewa na walikuwa wanabeza. Sisi tuliona mbali sana na tulipokuwa tunaonya tulijua kuwa taifa lingefika kwenye hatua hii ya sasa na madhara yake.
September 5, 2023 at 6:35 PM